Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno la wiki - Bumbuwazi

Neno la wiki - Bumbuwazi

Pakua

Katika neno la wiki hii leo tunaangazia neno "Bumbuwazi". Mchambuzi wetu  ni Nuhu Zuberi Bakari, ambaye ni Naibu Mwenyekiti wa masuala ya mawasiliano kwenye Chama cha  Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA . 

Bwana Nuhu anasema unapopigwa na butwaa ama kupatwa na mshangao, hadi ukawa huwezi kuongea hata neno moja basi utakuwa umepigwa na bumbuwazi.

Audio Credit
Nuhu Zuberi Bakari
Audio Duration
13"
Photo Credit
UN News Kiswahili