UM wataka tuhuma kuhusu matumizi ya silaha za kemikali zijibiwe kwa umakini
Pakua
Mwakilishi wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya upokonyaji silaha Izumi Nakamitsu amesema ushahidi zaidi wa matumizi wa silaha za sumu zilizopigwa marufuku nchini Syria ni sharti zipewe jibu la kutosha na Baraza la Usalama la umoja huo.
Audio Credit
Taarifa ya Siraj Kalyango
Audio Duration
1'11"