Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno la Wiki: tofauti za Supu na Mwengo ni zipi?

Neno la Wiki: tofauti za Supu na Mwengo ni zipi?

Pakua

Wiki hii tunaangazia maneneno "Supu” na “Mwengo" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi, katika Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA, nchini Tanzania.

Bwana Sigalla anasema sio kila kitu ambacho kimepikwa katika maji ni Supu. Mwengo ni aina ya supu itokanayo na kupika viumbe vya bahari kwa maji, kama vile samaki, pweza, ngisi. Ukitaka kuagiza supu yake unasema naomba mwengo wa samaki, mwengo wa pweza au mwengo ya ngisi…

Audio Credit
Onni Sigalla, kutoka BAKITA,
Sauti
48"
Photo Credit
Neno la wiki - Supu na Mwengo