Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kuwekeza kwenye Malaria ni hatua chanya- Dkt. Winnie

Kuwekeza kwenye Malaria ni hatua chanya- Dkt. Winnie

Pakua

Uwekezaji katika kukabiliana na Malaria, ni uwekezaji ambao utasaidia siyo tu kutokomeza umaskini bali pia kuchochea maendeleo kwa ngazi ya jamii na taifa kwa ujumla.

Dkt. Winnie Mpanju Shumbusho, ambaye ni mwenyekiti wa ubia wa kutokomeza Malaria duniani, RBM amesema hayo katika mahojiano maalum na Idhaa hii akisema kuwa..

(Sauti ya Dkt. Winnie Mpanju Shumbusho)

Amesema hata nchi ambazo hivi sasa hazina Malaria zilikuwa na ugonjwa huo lakini zilichukua hatua akitolea mfano Marekani.

(Sauti ya Dkt. Winnie Mpanju Shumbusho)

Ameieleza idhaa hii kuwa.

Photo Credit
Mama akiweka neti nchini Tanzania.(Picha:WHO S. Hollyman)