Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kusaidia wanawake kuko damuni mwangu: wakili Kamunya

Kusaidia wanawake kuko damuni mwangu: wakili Kamunya

Pakua

Ann N. Kamunya wakili mtetezi wa haki za wanawake, raia wa Kenya ambaye sasa yuko Ankara Uturuki akifanya kazi za kujitolea na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR anasema , suala la kutoa msaada hususan kwa wanawake liko katika damu yake. Na kazi hiyo ya kutetea wakina mama iwe kisheria kwa masuala mengine hajaianza leo wala jana ,n ahata sasa nchini Uturuki anaiendelea hasa kwa kuwasaidia wanawake na watoto wakimbizi. Ungana na Flora Nducha katika Makala hii ambapo Ann anaanza kwa kufafanua anachokifanya Ankara.

Photo Credit
Picha: UN Women