Wanyoro wa Uganda wahaha kuhifadhi asili yao
Pakua
Shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na utamaduni, UNESCO linahimiza umuhimu wa kulinda tamaduni kwa ajili ya kuendeleza jamii na kukuza maelewano.
Aidha manufaa ya ulinzi wa utamaduni ni zaidi ya hapo kama inavyojitokeza katika makala hii kuhusu juhudi za kubaini maeneo ya kihistoria kwa ajili ya kuimarisha utalii sambamba na harakati za kusaka fidia kwa ukatili uliofanywa dhidi ya Wanyoro katika vita ya kupinga ukoloni wa Uingereza. Nchini Uganda. Basi ungana na John Kibego katika makala hii.