Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tanzania iko mstari sahihi, utekelezaji wa SDGs- Moshi

Tanzania iko mstari sahihi, utekelezaji wa SDGs- Moshi

Pakua

Utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu yaani SDGs uko katika mstari sahihi nchini Tanzania kufuatia sera mpya zilizopo za kuhakikisha ulinzi wa mapato ya kitaifa kwa mujibu wa Celestine Moshi, mkurugenzi, idara ya ushrikiano wa kimataifa wizara ya mambo ya nje na ushirikiano Afrika Mashariki, akizungumza na Grace Kaneiya wa idhaa hii kandoni mwa mkutano wa viongozi wa ngazi ya juu kuhusu utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu, SDGs unaondelea hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani.

Photo Credit
SDGs.(Picha:UNIC/Tanzania)