Matumizi sahihi ya barabaraba kwa vyombo sahihi yahitajika Bujumbura
Pakua
Wiki ya usalama baranarani ikiendelea shirika la afya ulimwenguni WHO, linapendekeza pamoja na mambo mengine, uboreshaji wa miundombinu ya barabara ili kupunguza ajali.
Nchini Burundi hatua zaidi zinahitajika ili kudhibiti matumizi sahihi ya barabara baina ya baiskeli na magari pamoja na watumiaji wengine wa barabara wakiwamo watembea kwa miguu ili kudhibiti ajali za barabarani.
Mwandishi wetu Ramadhani Kibuga, amevinjari mjini Bujumbura na kuandaa makala ifuatayo. Ungana naye.