Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Fidel Castro alikuwa msemaji wa dunia ya tatu:Dr Salim

Fidel Castro alikuwa msemaji wa dunia ya tatu:Dr Salim

Pakua

Fidel Castro alikuwa kiongozi shupavu, jasiri, mtetezi wa wanyonge na kikubwa zaidi alikuwa msemaji wa dunia ya datu hususani nchi za Afrika kutokana na uwazi na kutomuogopa yeyote. Hayo yamejitokeza katika mahojiano maalumu kuhusu mchango wa kiongozi huyo kwa Afrika na kwenye Umoja wa Mataifa, baina ya Flora Nducha na Dr Salim Ahmed Salim.

(MAHOJIANO NA DR SALIM AHMED SALIM)

Photo Credit
Marehemu Fidel Castro akiwa na Dr Salim Ahmed Salim mwaka1979.(Picha:UM//Yutaka Nagata)