Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wahamiaji Afrika wasaka hifadhi Afrika

Wahamiaji Afrika wasaka hifadhi Afrika

Pakua

Wahamiaji kutoka Afrika kwenda Afrika! Hivi ndivyo unavyoweza kusema kuhusu  maelfu ya wasaka hifadhi na wakimbizi walioko nchini Misri ambao wanasaidiwa na shrike la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi  UNHCR.

Kamishna Mkuu wa UNHCR amewatembelea wasaka hifadhi hao na kuzungumza nao  ili kuwasaidia.

Ungana na Amina Hassan katika makala ifuatayo.

Photo Credit
Kamishna Mkuu wa UNHCR amewatembelea wasaka hifadhi walioko nchini Misri. Picha: UM/Video capture