Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Maisha ughaibuni: Mhamiaji asimulia visa na mikasa, sehemu ya 1

Maisha ughaibuni: Mhamiaji asimulia visa na mikasa, sehemu ya 1

Pakua

Hivi karibuni dunia imeadhimisha siku ya kimatiafa ya wahamiaji, siku ambayo haungazia ustawi, fursa na changamoto ya kundi hilo. Kwa mujibu wa takwimu za shirika la wahimiaji duniani IOM, kwa zaidi ya wahamiaji milioni 240.

IOM inasema kuwa kundi hilo linakabiliwa na madhila kama vile ubaguzi, katika safari na hata nchi wanazofikia wakati wa kuhama. Ungana na Joseph Msami katika sehemu ya kwanza ya mahojino ya kusisimua na mhamiaji Mirara Jogu kutoka Kenya anayeelezea fursa na madhila kadhaa ikiwamo kutiwa nguvuni na polisi.

Photo Credit
Mhamiaji Mirara Jogu kutoka Kenya. Picha: UM