Simamia haki ya mwenzio leo
Pakua
Na
kwa
mantiki
hiyo
ametoa
wito
kwa
serikali
kuimarisha
haki
za
binadamu
na
kwa
nchi
wanachama
na
mashirika
yote
duniani
kuimarisha
mwitikio
wa
dhuluma,
na
kuongeza
juhudi
zaidi
katika
kuzuia
ukiukwaji
wa
haki
za
binadamu.
Katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu leo hii, Katibu Mkuu wa Umoja Mataifa amesema kuimarisha haki za binadamu ni kwa ajili ya maslahi ya wote, utulivu kwa kila jamii na maelewano katika ulimwengu wetu ulioshikamana na kila mmoja anajukumu hilo na uwezo huo.
Amesema kampeni mpya ya kimataifa ya "simama kwa ajili ya haki ya mtu leo" iliyoanzishwa na Ofisi ya Haki za Binadamu, inahamasisha watu wote, popote pale walipo, iwe ni katika vitongoji vyao, shuleni, kwenye mitandao ya kijamii, kazini na majumbani mwao kuchangia katika haki za kila mmoja aliyekaribu yake leo, kesho na kila siku.
Amekumbusha kwamba utambuzi wa haki sawa kwa watu wote ulimwenguni ndio msingi wa uhuru, haki na amani duniani, hususan
wakati
huu
ambapo
migogoro
yenye
kuzidisha
mahitaji
ya
kibinadamu,
na
kuongeza
hotuba
zenye
chuki
kwa
wahamiaji
na
wakimbizi
yanazidi
kuongezeka.