Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya tabianchi na ukosefu wa chakula Tanzania

Mabadiliko ya tabianchi na ukosefu wa chakula Tanzania

Pakua

Ukame ambao unatokana na mabadiliko ya tabianchi sasa ni dhahiri na athari kama vile ukosefu wa chakula, umeanza kuathiri nchi hususani barani Afrika.

Nchini Tanzania, mkoani Kagera, moja ya mikoa yenye historia ya kuwa na chakula kingi kutokana na ardhi yenye rutuba sasa imeanza kuathirika. Ungana na Tumaini Anatory wa redio washirika Karagwe Fm ya mkoani humo katika makala ifuayato.

Photo Credit
Mlo shuleni nchini Tanzania.(Picha:WFP)