Sudan Kusini yasisitiza elimu kwa wasichana
Pakua
Dunia hivi karibuni imeadhimisha siku ya mtoto wa kike kwa kujadili maslahi ya kundi hilo na ustawi wake kwa ajili ya mustakabali wa maendeleo.
Nchini Sudan Kusini, licha ya taifa hilo kutumbukia katika machafuko, siku hii imeadhimishwa na kusisitiza umuhimu wa elimu kwa atoto wa kike. Ungana na Rosemary Musumba katika makala itakayofafanulia kwa undani.