Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

DR Congo yaorodhesha wakimbizi 6,000 toka Sudan Kusini:

DR Congo yaorodhesha wakimbizi 6,000 toka Sudan Kusini:

Pakua

Takribani wakimbizi 6000 wamewasili nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC wakitokea majimbo ya Equatoria Sudan Kusini.

Kwa mujibu wa shirika la Umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR watu hao ambao pia wanajumuisha raia wa Congo wanaongia kwenye eneo la Dungu na walianza kukimbia mwezi Desemba kama anavyothibitisha, Teresa Orango afisa habari wa Kanda ya Afrika ya Mashariki na Kati wa UNHCR alipozungumza na Flora Nducha..

(MAHOJIANO TERESA ORANGO)

Photo Credit
Picha:UNHCR