Wakimbizi wa ndani Sudan Kusini washerehekea Krisimasi
Pakua
Hebu fikiria, Kusherehekea krisimasi katikati ya machafuko! Hali hii iliwakumba wakimbizi wa Sudan Kusini taifa ambalo kwa takribani miaka mitatu sasa limeshuhudia mapigano na hivyo kuhatarisha usalama wa raia na mali zao.
Ungana na Joseph Msami katika makala itakayokupeleka kambini ambako wakimbizi hao wa ndani walisherehekea Krisimasi.