Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wakimbizi wa ndani Sudan Kusini washerehekea Krisimasi

Wakimbizi wa ndani Sudan Kusini washerehekea Krisimasi

Pakua

Hebu fikiria, Kusherehekea krisimasi katikati ya machafuko! Hali hii iliwakumba wakimbizi wa Sudan Kusini taifa ambalo kwa takribani miaka mitatu sasa limeshuhudia mapigano na hivyo kuhatarisha usalama wa raia na mali zao.

Ungana na Joseph Msami katika makala itakayokupeleka kambini ambako wakimbizi hao wa ndani walisherehekea Krisimasi.

Photo Credit
Picha:UNIFEED VIDEO CAPTURE