Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanawake hukumbwa na madhila wakisaka kipato

Wanawake hukumbwa na madhila wakisaka kipato

Pakua

Harakati za kukomboa mwanamke kiuchumi na kijamii hukabiliana na changamoto kadhaa wakati wa mcahakato wa kusaka kipato kwa kundi hilo. Mathalani wanawake wanaofanya katika mazingira magumu hukumbana na changamoto za kiafya na nyinginezo.

Nchini Uganda wanawake wajasiriamali katika migodi ya chumvi wanakabiliwa na magumu hadi kaisi cha kutishia kuvunja ndoa zao. Ungana na John Kibego katika makala ifuatayo.

Photo Credit
Wanawake wa ziwa Katwe wakiendesha shughuli zao.(Picha:Idhaa ya Kiswahili/John Kibego)