Wanawake watakiwa kunyonyesha bila hofu ya kupoteza muonekano
Pakua
Wiki ya kimataifa ya kunyonyesha watoto ikielekea ukingoni, nchini Tanzania wanawake wametakiwa kuepuka mawazo mgando ya kwamba unyonyeshaji waweza kusababisha kupoteza mwonekano wa matiti.
Hiyo ni miongoni mwa yale yanayojitokeza katika makala ya Humprey Mgonja wa redio washirika redio SAUT ya Mwanza Tanzania anayeangazia umuhimu wa wiki hii jijini humo. Ungana naye