Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uganda yapambana na umasikini kupitia kilimo

Uganda yapambana na umasikini kupitia kilimo

Pakua

Licha ya changamoto nyingi zikiwamo uitikio wa wananchi katika vita dhidi ya umaskini na baadhi ya wahudumu wa umma kujilimbikizia mali za kufadhili vita dhidi ya umaskini, Uganda inaendelea kupambana na umaskini.

John Kibego ameandaa makala kuhusu operesheni dhidi ya umaskini ambayo inaratibiwa na Jeshi la nchi hiyo baada ya kutovuna matunda mikononi mwa wahudumu wa umma kwa karibi muongo mmoja na nusu uliopita, ungana naye.

(MAKALA YA JOHN KIBEGO)

Photo Credit
Lt. Col. Andrew Kabwa akigawa mbegu kwa wakulima walioomba katika manisipaa ya Hoima(Picha ya UM/Idhaa ya kiswahili)