Bila redio hatuwezi kujua hali ya bahari kama upepo: Wavuvi
Pakua
Redio ni muhimu kwetu kwa kuwa inatusaidia kufahamu mabadiliko ya hali ya hewa na hivyo tuanafanya maamuzi baada ya kusikiliza. Ni sauti za wavuvi mkoani Tanga nchini Tanzania ambao wamezungumza katika makala inayoanganzia umuhimu wa radio kwa kundi hilo.
Kwa undani wa Makala hii ungana na Mohammed Hammie wa radio washirika Panganai Fm ya Tanga.