Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanawake Burundi wajikwamua kiuchumi

Wanawake Burundi wajikwamua kiuchumi

Pakua

Nchini Burundi mwandishi wetu wa maziwa makuu Ramadhani Kibuga anatufahamisha kuwa licha ya wanawake wa nchi hiyo kupitia historia ya migogoro kutokana na baadhi yao kuwa wakimbizi ikiwa ni matokeo ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, hilo halijawazuia kujishughulisha kikamlifu na shughuli mbalimbali za kujikwamua kiuchumi.

Ungana na Kibuga katika makala inayofafanua zaidi juhudi za wanawake nchini Burundi.

Photo Credit
Mkaazai wa Burundi.Picha ya UM/Martine Perret(maktaba)