Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Samoa yafufua matumaini ya mapambano ya kukabiliana na tabianchi

Samoa yafufua matumaini ya mapambano ya kukabiliana na tabianchi

Pakua

Wakati mkutano wa nchi za visiwa vidogo zinazoaendelea(SIDS) ukiwa umekamilika, mkutano ambao uliangazia athari za mabadiliko ya tabianchi, Samoa nchi ambayo ilikuwa mwenyeji wa mkutano huo, imefungua ukurasa mpya.

Makala ifuatayo inaelezea hatua thabiti zilizoanza kuchukuliwa nchini humo, katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Ungana na Joseph Msami kwenye makala…

Photo Credit
(Picha:Eskinder Debebe/UN)