Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baharia amekuletea nini?:IMO

Baharia amekuletea nini?:IMO

Pakua

Siku ya mabaharia duniani imeadhimishwa kwa kutambua mchango wa kundi hilo katika maisha ya kila siku ya jamii nzima duniani. Shirika la Kimataifa la masuala ya bahari, IMO limetumia siku hiyo kwa kutoa wito kwa watu kutafakari mchango wa mabaharia katika shughuli wanazofanya kila siku na vitu wanavyovitumia kila siku.

Je nini muktadha wa maudhui hayo, Naibu Mkurugenzi wa IMO Juvenal Shiundu amefafanua katika mahojiano na Amina Hassan wa Idhaa hii na hapa anaanza kwa kuelezea umuhimu wa siku hii kwa mabaharia …….

Photo Credit
Picha@IMO