Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Shamra shamra za maadhimisho ya siku ya wanawake zamulikwa Afrika Mashariki

Shamra shamra za maadhimisho ya siku ya wanawake zamulikwa Afrika Mashariki

Pakua

Katika makala hii tunamulika maadhimisho ya siku ya wanawake tujiunge na Anthony Joseph wa radio washirika Wapo Radion FM ya Tanzania  na kisha John Kibego wa radio washirika Spice FM huko Uganda.