Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wakimbizi wa Syria walioko Lebanon wapatiwa hifadhi Ujerumani

Wakimbizi wa Syria walioko Lebanon wapatiwa hifadhi Ujerumani

Pakua

Wakati mapigano nchini Syria yakizidi kupamba moto Serikali ya Ujerumani imekubali kuwapatia ukazi wa muda raia elfu tano wa Syria wanaoishi Lebanon, na hiyo ni kwa mujibu wa shirika la kimataifa la uhamiaji, IOM.

Patrick Maigua amefanya mahojaino na Msemaji wa IOM Jumbe Omari Jumbe kufahamu undani wa mchakato wa kuwapeleka wakimbizi hao wa Syria nchini Ujerumani.