Wakimbizi wa Syria walioko Lebanon wapatiwa hifadhi Ujerumani
Pakua
Wakati mapigano nchini Syria yakizidi kupamba moto Serikali ya Ujerumani imekubali kuwapatia ukazi wa muda raia elfu tano wa Syria wanaoishi Lebanon, na hiyo ni kwa mujibu wa shirika la kimataifa la uhamiaji, IOM.
Patrick Maigua amefanya mahojaino na Msemaji wa IOM Jumbe Omari Jumbe kufahamu undani wa mchakato wa kuwapeleka wakimbizi hao wa Syria nchini Ujerumani.