Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Siku ya kimataifa ya ulemavu

Siku ya kimataifa ya ulemavu

Pakua

Ni bayana kwamba watu walemavu huwa wanapitia chamgomoto nyingi za kimaisha zikiwemo umaskini, ajira, ndoa na kusafiri kutoka eneo moja hali lingine.

Siku ya kimataifa ya walemavu inapoadhimishwa hapo kesho December 3, Jason Nyakundi wa Radio ya Umoja wa Mataifa amepata kuzungumza na Isaac Manyonge mhasibu ambaye amekuwa mlemavu tangu utotoni na kisha kutuandalia makala ifuatayo. Tega sikio….

(MAZUNGUMZO YA JASON NYAKUNDI NA ISAAC MANYONGE)