Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kongamano la amani la kuboresha uhusiano kati ya jamii ya Tirlama nchini Kenya na Tuposa nchini Sudan

Kongamano la amani la kuboresha uhusiano kati ya jamii ya Tirlama nchini Kenya na Tuposa nchini Sudan

Pakua

Jamii ya Toposa huvuka na kuingia nchini Kenya ikitafuta malisho huku ile ya Turkana ikivuka na kuingia Sudan kutafuta maji. Japhet Kasimbu ni msemaji wa IOM.   

(SAUTI YA JAPHET KASIMBU)