Kongamano la amani la kuboresha uhusiano kati ya jamii ya Tirlama nchini Kenya na Tuposa nchini Sudan 29 Machi 2011 Mahojiano Pakua Jamii ya Toposa huvuka na kuingia nchini Kenya ikitafuta malisho huku ile ya Turkana ikivuka na kuingia Sudan kutafuta maji. Japhet Kasimbu ni msemaji wa IOM. (SAUTI YA JAPHET KASIMBU) Africa Culture and Education Mahojiano Peace and security Uncategorized Women, children, population