Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno La Wiki

Habari za UN

Methali: Aanguae huanguliwa

Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali isemayo “Aanguae huanguliwa.”

Sauti
1'10"