METHALI: SHIMO LA ULIMI MKONO HAUFUTIKI
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mkuu wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anachambua methali Jino la P Na leo katika kujifunza lugha ya kiswahili tunakuletea maana ya methali methali SHIMO LA ULIMI MKONO HAUFUTIKI, KARIBU!