Katika Neno la Wiki hii leo tunachambua methali isemayo, "Ukikaa na Simba, vaa ngozi ya mamba." Mchambuzi wetu ni Ken Walibora, mwanariwaya na na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya, CHAKITA. Fuatana naye mlumbi huyu wa lugha ya Kiswahili.