NENO LA WIKI- MKAJA
Hii leo katika kujifunza kiswahili kupitia Umoja wa Mataifa, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, la ZANZIBAR, BAKIZA, Dkt.MWanahija Ali Juma anafafanua maana ya neno "MKAFA"
Hii leo katika kujifunza kiswahili kupitia Umoja wa Mataifa, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, la ZANZIBAR, BAKIZA, Dkt.MWanahija Ali Juma anafafanua maana ya neno "MKAFA"
Hii leo katika kujifunza lugha ya kiswahili, Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya anafafanua maana ya methali, Ibilisi wa mtu ni mtu. Karibu!
Hii leo katika kipengele cha Neno la Wiki tunapata uchambuzi wa methali, "La kuvunda halina ubani" na mchambuzi wetu ni Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar BAKIZA.
Hii leo katika kujifunza kiswahili kupitia neno la wiki tunakwenda Tanzania ambapo Onni Sigalla Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya methali, Chozi la umpendaye hutoka kwenye chongo au kengeza.
Na sasa ni wakati wa kujifunza Kiswahili , leo tunapata ufafanuzi wa methali, "Kwa muoga huenda kicheko kwa shujaa huenda kilio" na mchambuzi wetu ni Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani nchini Kenya.
Na leo katika neno la Wiki tunakwenda visiwani Zanzibar, Tanzania kupata ufafanuzi wa maana ya maneno matano yanayohusiana kisemantiki"MTUNDU,UCHOKOZI, MAUDHI, KUKASIRIKA NA HAMAKI". Mchambuzi wetu ni Dkt. Mwanahija Ali Juma kutoka BAKIZA .
Hii leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunamulika methali isemayo, "Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake." Mchambuzi wetu ni Josephat Gitonga kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi katika kituo cha tafsiri na ukalimani nchini Kenya.
Je wafahamu maana ya ugua pole? Kauli ambayo mara nyingi mgonjwa hupatiwa na baadhi wanahoji kwa nini augue pole? Sasa leo Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, la ZANZIBAR, BAKIZA, Dkt.MWanahija Ali Juma anafafanua kauli hiyo "UGUA POLE"
Hii leo kutoka Uganda, Aida Mutenyo, mwenyekiti wa idara za Kiswahili katikaVyuo Vikuu Afrika Mashariki anatufafanua aina za sentensi; Sahili, Ambatano na Changamano. Karibu!