Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno La Wiki

Habari za UN

Methali: Mla mbegu huvuna vya wenyewe

Karibu kujifunza Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali isemayo “Mla mbegu huvuna vya wenyewe.”

Sauti
1'41"
Habari za UN

NENO: Kifandugu

Leo katika Jifunze Kiswahili ukumbi ni wake mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa  nchini Tanzania , BAKITA anafafanua maana ya neno “KIFANDUGU”.  Anapochambua neno hili anapatia pia kisawe chake ambacho ni "KITOKONO."

Sauti
59"
Habari za UN

Neno: KIPA MKONO”

Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa  nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “KIPA MKONO”. 

Sauti
52"