Wazazi tulinde watoto wetu dhidi ya mimba katika umri mdogo - Catherine Kobusinge Kamanyire
Nchini Uganda ripoti kutoka wilaya mbalimbali zinaonesha ongezeko la idadi ya wasichana waopata mimba utotoni kuliko wakati wowote kabla ya shule kufungwa kutokana na COVID-19. Wakati wilaya ya Hoima pekee imeripoti mimba za utotoni zaidi ya 6,000 wilaya jirani ya Masindi imeripoti zaidi ya wasichana 1,500 waliopata mimba kati ya mwezi Januari na Juni mwaka huu.
Uganda ina takribani wilaya 135.