Sawa Wanawake Tanzania lasongesha haki za mtoto Morogoro, Tanzania
Nchini Tanzania mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali yanaendelea kuunga mkono juhudi za Umoja wa Mataifa za kufanikisha mikataba ya kimataifa ikiwemo ule wa haki ya mtoto unaotaja haki kuu nne za msingi za mtoto ambazo ni Kuishi, Kuendelezwa, kulindwa na kushirikishwa.