09 Machi 2022
Hii leo jaridani Leah Mushi anakutelea Habari kwa Ufupi zikisomwa na Flora Nducha ambamo anaangazia mwongozo wa WHO wa utoaji mimba ulio salama, madhila zaidi kwa wananchi wa Syria ambako mzozo unaingia mwaka wa 12 na UNICEF yapeleka dawa kunusuru wanawake na watoto majimbo ya Beni na Yobe nchini Nigeria.