Wakati Waislam kote duniani wakiwa wameanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, kutana na mkimbizi Anna anayeishi kwenye kambi ya wakimbizi ya Mbera nchini Mauritania, anasema anashukuru mwezi mtukufu umeanza salama, lakini utakuwa mgumu sana kwake na familia yake kutokana na janga la corona au