Watu bilioni 1 kote dunia wana ulemavu na asilimia 80 wanaishi katika nchi zinazoendelea wakikabiliwa na changamoto kubwa ikiwemo unyanyapaa, ubaguzi na kutopata fursa za kuwezesha kuchangia katika jamii kwa mujibu wa shirika la kimataifa la mpango wa maendeleo ya kilimo IFAD. Nchini senegali mm