Timu ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa wanaohudumia Sudan Kusini wanatafuta njia za ubunifu za kutafuta pesa za kulipia ada ya watoto yatima na watoto katika familia zenye mzazi mmoja, kutoa chakula, vitabu na kuboresha vyumba vya madarasa vya shule ambayo inahudumia jamii maskni katika mji mk