Ni wimbo wa taifa wa Sudan Kusini, ulipoimbwa kwa mara ya kwanza, kukaribisha kuzaliwa kwa taifa jipya kabisa duniani. Julai 9, mwaka 2011,ilikuwa ni siku ya sherehe na matarajio makubwa, kama alivyoeleza Katibu Mkuu Ban Ki-Moon wakati huo katika hotuba yake