Suala la kuwa na katiba mpya si jipya hasa ukizingatia nchi nyingi duniani zinafanya mabadiliko na kujitahidi kwenda sambamba na hali halisi ikiwemo utekelezaji wa maazimio mbalimbali ya Umoja wa Mataifa kama ya kutimiza haki za binadamu, kuwapa watu uhru wa kujieleza, kukuksanyika, kuupata elimu