Kamati ya wataalamu inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ikijishughulisha na masuala ya tabia nchi IPCC imeyataka mataifa duniani kuwajibika kupunguza utoaji wa gesi chafu kwa madai kuwa kwa kufanya hivyo kutaleta ustawi mkubwa kwenye maeneo ya usalama wa nishati, afya, na ukuzaji wa ajira.