Ban azipongeza Equatorial Guinea na Gabon kwa nia ya kuataka suluhu ya mzozo
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekaribisha hatua ya kufanyika kwa mkutano wa pande tatu wa mawaziri kuhusu mzozo baina ya Jamhuri ya Equatorial Guinea na Gabon, uliofanyika wiki hii kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa New York.