Mjumbe wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa nchi za kiarabu katika mzozo wa Syria, Lakhdar Brahimi Jumamosi atakuwa na mazungumzo na Waziri wa Mambo ya nje wa Urusi, Sergei Lavrov, mjini Mosciw, ikiwa ni katika jitihada za kupatia suluhu mgogoro wa Syria.