Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN News

Makala Maalum

Tabianchi na mazingira Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira UNEP limesema kuwa licha ya ongezeko la joto duniani kuendelea kutishia sayari, maendeleo ya teknolojia safi yanatoa matumaini mapya katika juhudi za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Habari Nyinginezo

Afya Upimaji wa mapema na ufuatiliaji vinasaidia DRC waliothibitika na ugonjwa wamefikia 550 Vifo 101 DRC
Tabianchi na mazingira Kesho kutwa Alhamisi ya Juni 11, macho na masikio yanaelekezwa Mexico, Canada na hapa Marekani kwa ajili ya fainali za kombe la dunia kwa mpira wa miguu, au soka al maarufu kabumbu. Ingawa hivyo zama za sasa za mchezo huo maarufu zaidi duniani zinakumbwa na madhara ya  athari za mabadiliko ya tabianchi. Ongezeko la joto kali linavuruga mechi na kuzua wasiwasi kuhusu mustakabali wa mchezo huo. Ni kwa kuzingatia hilo, Sekretarieti ya Mkataba wa Kimataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi, UNFCCC inamulika suala hilo na kutoa mapendekezo ya nini kifanyike kwani hivi sasa madhara ya joto kali kwenye kabumbu ni dhahiri.