Habari Moto Moto
Malengo ya Maendeleo Endelevu
Ni wakati wa kufadhili mustakabali wetu na kubadilisha mwelekeo, Guterres awaambia viongozi wa dunia huko Sevilla
Amani na Usalama
Janga kubwa la kibinadamu linaendelea Gaza kufuatia ukosefu wa maji, njaa, na watu kutawanywa
Chaguo la Mhariri
Makala Maalum
Wanawake
Shirika la Umoja wa Mataifa la kushughulikia masuala ya wanawake, UN Women linapotimiza miaka 15 mwaka huu wa 2025, dunia imepiga hatua muhimu katika usawa wa kijinsia ambazo zimebadilisha maisha ya wanawake na wasichana kote duniani. Hii ni sababu ya kusherehekea, lakini harakati za kusukuma mbele usawa wa kijinsia zinapoteza mwelekeo.
Habari kwa Picha
Taswira za utumikishaji watoto duniani
Tarehe 12 Juni ni siku ya kimataifa ya kupinga ajira kwa watoto. Tunamulika harakati za watoto za kujinasua kwenye umaskini kwa kutumikishwa ili mkono wao na familia zao uende kinywani.
Habari Nyinginezo
Ukuaji wa Kiuchumi
Ndani ya kipindi cha mwaka mmoja, ushirika wa wakulima wa mahindi na mtama wenye wanachama 20 katika Jimbo la Equatoria ya Kati, nchini Sudan Kusini, ulikua hadi kufikia wanachama zaidi ya 150, na hivyo kuwawezesha wanachama wengi kuongeza kipato chao na kuweza kuwahudumia familia zao kwa mara ya kwanza.
Malengo ya Maendeleo Endelevu
Mkutano muhimu wa Ufadhili kwa Maendeleo uliofanyika Sevilla, FFD4 umekamilika kwa hali mpya ya azma na msisitizo wa kuchukua hatua zinazoweza kubadilisha maisha duniani kote, kwa mujibu wa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina Mohammed.