Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UN News

Makala Maalum

Tabianchi na mazingira Wiki ya pili baada ya Kimbunga Melissa kupiga magharibi mwa Jamaica, mitaa ya Savanna-la-Mar na Watercress bado ipo kimya, kimya cha mji unaojaribu kujikwamua na Athari zilizoachwa na zahma hiyo. Nyumba zimebomoka, shule zimeharibiwa, maisha yamepinduliwa. Makadirio yanaonesha kuwa watu milioni 1.6 wameathirika, na sasa timu za misaada zinafanya kazi kwa haraka usiku na mchana kutoa msaada muhimu wa chakula, makazi, na usalama. 

Habari Nyinginezo

Afya Kifua kikuu au TB bado ni moja ya magonjwa hatari zaidi ya kuambukiza duniani, kikiua zaidi ya watu milioni 1.2 na kuwaathiri takribani watu milioni 10.7 mwaka uliopita, kwa mujibu wa  ripoti mpya ya kimataifa ya kifua kikuu 2025 iliotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO).
Tabianchi na mazingira Wiki ya pili baada ya Kimbunga Melissa kupiga magharibi mwa Jamaica, mitaa ya Savanna-la-Mar na Watercress bado ipo kimya, kimya cha mji unaojaribu kujikwamua na Athari zilizoachwa na zahma hiyo. Nyumba zimebomoka, shule zimeharibiwa, maisha yamepinduliwa. Makadirio yanaonesha kuwa watu milioni 1.6 wameathirika, na sasa timu za misaada zinafanya kazi kwa haraka usiku na mchana kutoa msaada muhimu wa chakula, makazi, na usalama.