Skip to main content

UN News

Makala Maalum

Amani na Usalama Kuanzishwa kwa ujumbe wa kitaifa wa msaada wa usalama nchini Haiti kutajadiliwa wiki hii na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wakati taifa hilo la Caribbea likiendelea kukabiliwa na mzozo wa ghasia na ukosesefu wa usalama unaosababishwa na magenge ya kiharifu ambayo yamekita mizizi katika nchi hiyo.  

Habari Nyinginezo

Amani na Usalama Watu wachache wanaokisiwa kuwa kati ya 50 hadi 100 kutoka jamii ya asili raia wa Armenia wameripotiwa kusalia katika eneo la Karabakh nchini Azerbaijan baada ya msafara wa siku za hivi karibuni kushuhudia zaidi ya watu 100,000 wakilikimbia eneo hilo, umeripoti leo ujumbe wa Umoja wa Mataifa ambao umefika eneo hilo kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 30.
Wahamiaji na Wakimbizi “Safari ilikuwa ngumu sana, tulikuwa barabarani kwa saa kati ya 26 hadi 29.” Ni simulizi ya mmoja wa wakimbizi zaidi ya 100,000 wanaomiminika Armenia wakitokea eneo la Karabakh linalozozaniwa kati ya Armenia na Azerbaijan.