Vichwa vya Habari
Chaguo la Mhariri
Makala Maalum
Amani na Usalama
Kuanzishwa kwa ujumbe wa kitaifa wa msaada wa usalama nchini Haiti kutajadiliwa wiki hii na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wakati taifa hilo la Caribbea likiendelea kukabiliwa na mzozo wa ghasia na ukosesefu wa usalama unaosababishwa na magenge ya kiharifu ambayo yamekita mizizi katika nchi hiyo.
Habari kwa Picha
Umoja wa Mataifa: Kitovu cha diplomasia ya dunia
Viongozi kutoka kote ulimwenguni walirejea katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani katika mkutano wa kwanza kabisa wa ana kwa ana tangu janga la COVID-19 kuikumba duniani, na wameshiriki katika wiki ya kwanza ya mkutano wa 78 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa au UNGA78.
Habari Nyinginezo
Msaada wa Kibinadamu
Wakati raia wa Sudan Kusini waliokuwa ukimbizini nchini Sudan wakirejea nchini mwao kutokana na machafuko yanayoendelea nchini Sudan Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa Chakula duniani WFP limesema dharura ya njaa inakaribia.
Wahamiaji na Wakimbizi
Leo imetimia miaka 10 kamili tangu ajali ya meli iliyokuwa imebeba wahamiaji zaidi ya 500 kutoka Libya barani Afrika kuelekea nchini Italia ilipozama kwenye eneo la Lampedusa.