Skip to main content

UN News

Makala Maalum

Amani na Usalama Kuanzishwa kwa ujumbe wa kitaifa wa msaada wa usalama nchini Haiti kutajadiliwa wiki hii na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wakati taifa hilo la Caribbea likiendelea kukabiliwa na mzozo wa ghasia na ukosesefu wa usalama unaosababishwa na magenge ya kiharifu ambayo yamekita mizizi katika nchi hiyo.  

Habari Nyinginezo

Msaada wa Kibinadamu Wakati raia wa Sudan Kusini waliokuwa ukimbizini nchini Sudan wakirejea nchini mwao kutokana na machafuko yanayoendelea nchini Sudan Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa Chakula duniani WFP limesema dharura ya njaa inakaribia.
Wahamiaji na Wakimbizi Leo imetimia miaka 10 kamili tangu ajali ya meli iliyokuwa imebeba wahamiaji zaidi ya 500 kutoka Libya barani Afrika kuelekea nchini Italia ilipozama kwenye eneo la Lampedusa.