Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kiswahili chaenziwa Washington DC

Kiswahili chaenziwa Washington DC

Pakua

Mwishoni mwa wiki jamii ya watu wanaozungumza Kiswahili wakiongozwa na jumuiya ya Watanzania waishioWashingtonDCna maeneo ya jirani, walishuhudia tamasha la utamaduni wa Kiswahili ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais mstaafu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ali Hasani Mwinyi.Ungana na Joseph Msami katika makala ifuatayo itakayokujuza kilichojiri katika tamasha hilo.